Wednesday, December 7, 2011

Kura rasmi za urais DRC kucheleweshwa

 7 Disemba, 2011 - Saa 03:41 GMT
Tume ya Uchaguzi katika Jamuhuri Ya Kidemokrasia ya Congo imechelewesha kutangaza matokeo rasmi ya kura za urais hadi Alhamisi kutokana na matatizo ya kiufundi. Kura za mapema zinaonyesha rais Joseph Kabila akiongoza mbele ya upinzani.
Rais wa Baraza kuu la Ulaya Herman Van Rompuy, amependekeza kuwepo sheria kali za kiuchumi kwa nchi zinazotumia sarafu ya Euro. Ufaransa na Ujerumani zimeridhia kuwepo na azimio jipya ili kulinda uchumi wa kanda inayotumia sarafu ya Euro.
Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anaongoza kwa asilimia 46 ya kura zote, matokeo yanavyoonyesha

KINYANG'ANYIRO CHA UCHAGUZI MKUU DRC 2011

No comments:

Post a Comment