Saturday, December 24, 2011

JK ajionea athari za mafuriko Dar

*Aagiza waishio mabondeni kuhamishwa haraka
*Atembelea waathirika 4,909 waliopewa hifadhi
*Vifo zaidi vyaongezeka, sasa wafikia watu 20
*Dkt.Shein, CUF watuma salamu za rambirambi


Rais Jakaya Kikwete, akizungumza na waathirika wa mafuriko kwenye kambi iliyotengwa na serikali Mchikichini, Ilala, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa mkoa Bw. Sadik Meck Sadik na Meya wa Ilala Bw. Jerry Silaa.
Na Waandishi Wetu

RAIS Jakaya Kikwete amewaagiza viongozi wa Jiji la Dar es Salaam, kuhakikisha wananchi

No comments:

Post a Comment