 HOFU YATANDA
                        HOFU YATANDA
                    
Luqman Maloto na Vyanzo Mbalimbali
TANZANIA inatahadharishwa, inaonywa kuhusu mkakati wa Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemasons…
                                                        Added by GLOBAL on December 13, 2011 at 9:00am                            —
                                                            20 Comments
                                                
                         Mchangie mtoto huyu apate matibabu
                        Mchangie mtoto huyu apate matibabu
                    
                      NA MAKONGORO OGING’
Hali ya mtoto Pascal Tano mwenye umri wa miaka mitano bado ni mbaya kiafya kutokana na kutopata matibabu kufuatia mama yake na familia kukosa shilingi 3,000,000 (milioni tatu) zinazohitajika katika Hospitali ya Agha Khan ili apate matibabu .
 
Mtoto Pascali habari zake zimewahi kutolewa katika gazeti hili kwa lengo la kuomba msaada wa fedha kutoka kwa wasamaria wema ili aweze kupata matibabu ambapo mpaka sasa zimepatikana jumla ya…
                      
 
                                          
Hali ya mtoto Pascal Tano mwenye umri wa miaka mitano bado ni mbaya kiafya kutokana na kutopata matibabu kufuatia mama yake na familia kukosa shilingi 3,000,000 (milioni tatu) zinazohitajika katika Hospitali ya Agha Khan ili apate matibabu .
Mtoto Pascali habari zake zimewahi kutolewa katika gazeti hili kwa lengo la kuomba msaada wa fedha kutoka kwa wasamaria wema ili aweze kupata matibabu ambapo mpaka sasa zimepatikana jumla ya…
 
No comments:
Post a Comment