Sunday, November 18, 2012

Jeshi la MONUSCO laingia kati Goma

Jeshi la MONUSCO laingia kati Goma

 17 Novemba, 2012 - Saa 16:46 GMT
Helikopta zenye silaha za Umoja wa Mataifa zimeshambulia maeneo ya wapiganaji mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo, huku mapambano yanaendelea baina ya jeshi la Congo na kundi la wapiganaji wa M23.
Mpiganaji wa M23 kaskazini ya Goma

No comments:

Post a Comment