Thursday, June 23, 2011

ENJOY THE NEWS

Lead story

More Features

  • Mbowe breathes fire over lack of making bold decisions

    Mbowe breathes fire over lack of making bold decisions Leader of Official Opposition Camp in the Parliament and Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Chairman, Freeman Mbowe, yesterday hit hard at ‘coward’ Government officials and legislatures who fail to take bold moves to avoid ...0 comments
  • Petroli bei chini

    Petroli bei chini SERIKALI imepunguza tozo na kodi kwenye mafuta ya petroli na dizeli. Uamuzi huo ulitangazwa bungeni Dodoma jana na Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustapha Mkulo, alipokuwa akijhitimisha mjadala wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha ...0 comments
Browse our Featured collection

Latest News

  • Polisi wanahitaji kujipanga upya

    23 Jun 2011
    KWA mara nyingine wananchi wamevamia kituo cha polisi wakitaka wenzao waliokamatwa wakidaiwa kwa uhalifu, waachiwe huru. Wananchi hao waliokuwa na silaha za jadi walivamia kituo kikuu ...
  • Wanaouza dawa mseto bei juu kuchukuliwa hatua

    23 Jun 2011
    WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii itawachukulia hatua kali za kisheria wote wanaouza dawa mseto kwa bei juu badala ya bei iliyopangwa na Serikali. Akizungumza ...
  • Rais Kikwete, Dk. Mahathir wajadili uchumi, uhusiano

    Rais Kikwete, Dk. Mahathir wajadili uchumi, uhusiano

    23 Jun 2011
    RAIS Jakaya Kikwete amekutana na waziri mkuu mstaafu wa Malaysia, Dk. Mahathir Mohammed wa Malaysia na wamejadili masuala ya uchumi na uhusiano baina ya Tanzania ...
  • Bosi wa mtandao wa mihadarati akamatwa Mexico

    23 Jun 2011
    POLISI nchini Mexico wamemkamata kiongozi wa mtandao hatari wa biashara ya dawa ya kulevya unaojulikana kama ‘La familia’, Jose Jesus Mendez. Mendez alikamatwa baada ya shambulio ...

More News

Advertisement

Biashara

  • Mateja’ na biashara haramu ya kuchuja mafuta

    Mateja’ na biashara haramu ya kuchuja mafuta  Na Habakuki Urio, Dar es Salaam MOJA ya changamoto kubwa inayowakabili Watanzania wengi wakiwamo vijana, ni ukosefu wa ajira unaosababisha ugumu wa maisha. Hali hiyo imewafanya Watanzania wengi kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha. 0 comments

More in Biashara

World News

More in World News

Makala na Uchambuzi

  • Abebwaye hukitazama kisogo cha ambebaye

    NI kweli duniani ubebaji watoto upo wa aina nyingi. Tumepata kuwaona wanaowabebea watoto ubavuni na wengine juu ya tumbo na kadhalika. Yote sawa. Lakini, kwa ujumla wake, ubebaji mtoto uliozoeleka sehemu nyingi za Afrika, Tanzania ikiwamo, ...0 comments

More in Makala na Uchambuzi

Burudani na Michezo

  • WOTE WABABE

    WOTE WABABE Bondi daniel Wanyonyi Kulia akitunishiana misuli na Francis Cheka wa Tanzania wakati wa mkutano wa waandishi wa habari Dar es salaam, jana kuhusu mpambano wao unaotarajia kufanyika Jumamosi kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.Katikati ni ...0 comments

More in Burudani na Michezo

No comments:

Post a Comment