Thursday, October 30, 2014

HABARI KWA UFUPI KUTOKA BBC SWAHILI

Mwizi wa mapenzi akamatwa Austria
BBCSwahili.com | Mwanzo - 15 hours ago

Polisi nchini Austria wanawahoji wanawake ambao wamehadaiwa na mwanamume mwenye mazoea ya kuwapenda wanawake wengi tu.

Wengi wafariki onyesho la bendi Seoul

BBCSwahili.com | Mwanzo - 16 hours ago
Watu wapatao 16 wamekufa na wengine 11 kujeruhiwa katika tamasha la muziki mjini Seongnam, kusini mwa Seoul

Je,elimu ya juu yawanufaisha Wahitimu?

BBCSwahili.com | Mwanzo - 16 hours ago
Haba na Haba inajadiliana na wadau nchini Tanzania kuhusu mfumo wa elimu ya juu nchini humo

Boko Haram kuwaachilia wanafunzi

BBCSwahili.com | Mwanzo - 16 hours ago
Serikali ya Nigeria inasema kuwa imefikia makubaliano na kundi la wapiganaji wa Boko Haram kuwaachilia wasichana walitekwa nyara

Al-Shabaab waendeleza biashara ya mkaa

BBCSwahili.com | Mwanzo - 17 hours ago
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imekishutumu kikundi cha Somalia cha Al Shabaab kwa kuendelea na biahara ya mkaa.

Makasisi wanaounga mkono ushoga

BBCSwahili.com | Mwanzo - 17 hours ago
Askofu na kadinali wa Chile ,Ricardo Ezzati, alituma ujumbe wa siri akilalamikia Vatican kuwahusu makasisi hao wanaotetea ushoga

Ebola:Ahadi za mataifa hazijatimizwa

BBCSwahili.com | Mwanzo - 17 hours ago
Shirika la MSF linasema kuwa ahadi za mataifa kutoa msaada na kupeleka wahudumu kupambana na Ebola havijakuwa na mafanikio

Mgonjwa atibiwa Uraibu wa Internet

BBCSwahili.com | Mwanzo - 17 hours ago
Wanasayansi wamemtibu mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 31 nchini Marekani kwa wanachokisema kuwa uraibu wa kutumia mtandao wa Interne

Wanariadha watumia sana madawa Kenya

BBCSwahili.com | Mwanzo - 18 hours ago
Ripoti kuhusu utumizi wa madawa haramu ya kusisimua misuli michezoni, Kenya, imebaini kuwa wanariadha wengi wa wanatumia madawa hayo

IS:Wapiganaji wafunzwa urubani

BBCSwahili.com | Mwanzo - 18 hours ago
Marubani walioasi jeshi la Iraq na kujiunga na kundi la wapiganaji wa Islamic State wameanza kutoa mafunzo ya urubani kwa wapiganaji wa IS

Kigoma:Mmea ambao ni siri ya wanaume

BBCSwahili.com | Mwanzo - 18 hours ago
Hata hivyo, alipozungumza na wenyeji wa eneo hilo linalojulikana kama Kabwe, akaelezwa mmea huo unaitwa Mlemela.

Wakili asema Pistorius 'amefilisika'

BBCSwahili.com | Mwanzo - 21 hours ago
Mahakama inayosikiliza kesi ya mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius imeambiwa kuwa mwanariadha huyo hana pesa

Ebola:Annan akosoa mataifa ya Magharibi

BBCSwahili.com | Mwanzo - 22 hours ago
Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amekosoa ambavyo mataifa ya magharibi yameshughulikia janga la Ebola.

Bendi ya The Good Ones kutoka Rwanda

BBCSwahili.com | Mwanzo - 22 hours ago
Wakati mwimbaji mkuu wa bendi hiyo na mtunzi wa nyimbo, Adrien Kazigira alipoamua kuanzisha bendi hiyo, alikuwa anawatafuta “the good ones”,

Upinzani wakataa matokeo Msumbiji

BBCSwahili.com | Mwanzo - 22 hours ago
Kulingana na matokeo chama tawala kimeshinda uchaguzi huo ingawa upinzani Renamo umekataa matokeo hayo ya uchaguzi uliofanyika Jumatano.

Virusi hatari kwa viumbe vyagunduliwa

BBCSwahili.com | Mwanzo - 1 day ago
Watafiti wa masuala ya viume vya ardhini na majini, wamegundua virusi vipya vinavyoangamiza kizazi kizazi hicho.

Jeshi la Marekani kupambana na Ebola

BBCSwahili.com | Mwanzo - 1 day ago
Rais wa Marekani Barack Obama amethibitisha kulitumia jeshi la nchi hiyo na wale wa akiba kupambana na wa ugonjwa wa Ebola Afrika magharibi.

Michezo kwa ufupi

BBCSwahili.com | Mwanzo - 1 day ago
Kunea kwa ugonjwa wa Ebola umefanya fainali za Kombe la mataifa ya Afrika kuwa mashakani.

Ukeketaji watua England

BBCSwahili.com | Mwanzo - 1 day ago
Kwa mara ya kwanza tabia ya ukeketaji wa wanawake imegunduliwa England

Renamo-hatutambui matokeo

BBCSwahili.com | Mwanzo - 1 day ago
Chama cha kikuu cha upinzani nchini Msumbiji cha RENAMO,kimetoa yake ya moyoni kuwa hawatayakubali matokeo yajayo.


No comments:

Post a Comment