Saturday, August 18, 2012

HABARI MICHEZO NA BURUDANI

Familia zatafuta jamaa zao kwenye mgodi

BBCSwahili.com | Mwanzo - 4 hours ago
Mauaji ya wachimba migodi 34 Afrika Kusini yatachunguzwa na tume, asema Rais Zuma, huku wake wasema hawajui waume zao waliko

MABADILIKO YA UONGOZI YANGA YALIVYOCHELEWESHA MCHAKATO WA KAMPUNI YA LIGI KUU (TPL)

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 15 hours ago
Wakati ligi kuu ya Tanzaia bara ikiwa imepangwa kuanza ndani ya wiki mbili zijazo, kumekuwepo hakuna taarifa yoyote rasmi juu ya muendeshaji wa ligi hiyo kampuni (Tanzania Premium League -TPL) ambayo itakuwa ikiundwa na vilabu vishiriki vya ligi kwa pamoja na TFF kama wenye hisa. Kama itakumbukwa wakati wa ligi ya msimu uliopita ikiwa imefikia katikati, vilabu vya ligi kuu kwa kushirikiana na wadau tofauti walianzisha harakati za kutaka ligi kuu ya msimu uliopita ngwe ya pili iendeshwe na kampuni ya vilabu vyenyewe na sio TFF kama ilivyo kwenye ligi kuu za Kenya, EPL na nyingi... more »

GWIJI LA ARSENAL IAN WRIGHT ASEMA: "VAN PERSIE AMEFANYA CHAGUO SAHIHI KUJIUNGA NA MAN UNITED.

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 20 hours ago
*Ian Wright na Van Persie* Robin Van Persie amejiunga na Manchester United kutokea Arsenal, na kwanza kabisa naomba nikiri sidhani kama ameondoka kwa sababu ya fedha. Mholanzi huyo ambaye alikuwa nahodha wetu ameenda Old Trafford kwa sababu anaamini kuichezea United kutampa nafasi nzuri zaidi ya kushinda makombe. Na hili linatuumiza mashabiki wa Arsenal. Van Persie alijiunga na Gunners mwezi May 2004, muda mchache baada ya klabu yangu ya zamani kumaliza msimu bila kufungwa katika ligi kuu ya England. Hii ilikuwa timu bora kabisa ya Arsenal. Ilikuwa na uwezo wa kuendelea kutawala... more »

KUELEKEA FAINALI YA BANCABC SUPER8 HAPO KESHO: HIKI NDICHO ALICHOKI-POST KOCHA WA SIMBA SELEMANI MATOLA KWENYE FACEBOOK

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 22 hours ago
WANAGU HAPA NIKAMA MWAKA MMOJA NUSU ULIOPITA. TUOMBE MUNGU WANA CMBA KESHO IWE KAMA HIVI

JOHN BOCCO AENDELEA VIZURI SUPERSPORTS UTD.

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 22 hours ago
Baada ya majaribio ya siku 7 Super Sport United imewapunguza wachezaji sita kati ya 9 waliokuwa wakifanya majaribio, waliopunguzwa wanatoka Congo, Senegal, Nigeria na Mali. wachezaji waliobaki ni JB19 toka Tanzania, Mnigeria ambaye alikuwa Petro Athletico ya Angola na Raia wa Chad. nafasi ni moja tuu. Bocco ameongezewa siku sita nyingine za majaribio hadi Alhamisi Ijayo....All The Best JB19 [image: Photo: Baada ya majaribio ya siku 7 Super Sport United imewapunguza wachezaji sita kati ya 9 waliokuwa wakifanya majaribio, waliopunguzwa wanatoka Congo, Senegal, Nigeria na Mali. wac... more »

Ferdinand atozwa faini

BBCSwahili.com | Mwanzo - 22 hours ago
Kumtukana Ashley Cole

Waziri Mkuu Uganda adukuliwa

BBCSwahili.com | Mwanzo - 23 hours ago
Wadukuzu wameweka ujumbe kwamba Waziri Mkuu anaomba mashoga radhi eti anawaunga mkono

Wachimba migodi 30 wapigwa risasi

Polisi walifyatua risasi baada ya kushindwa kuwatawanya wachimba migodi walijihami

PICHA ZA SIKU: ROBIN VAN PERSIE AKUTANISHWA NA WACHEZAJI WENZIE WA MAN U - AANZA MAZOEZI

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
*Karibu kijana hapa ndio Carrington - Sir Alex Ferguson akimkaribisha RVP katika uwanja wa mazoezi* *"Jisikie upo nyumbani"* *Wayne Rooney na Robin Van Persie* *Karibu sana kijana - Nani akimkaribisha Van Persie* *RVP akisalimiana na Darren Fletcher*

HIVI NDIVYO WASHABIKI WA ARSENAL WALIVYOUMIZWA NA VAN PERSIE KWENDA MAN UNITED

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
Jana nilitoa nafasi kwa mashabiki wa Arsenal kuweza kutoa maoni yao juu ya suala la uhamisho wa mshambuliaji Robin Van Persie kwenda Manchester United, mamilioni ya washabiki wa Arsenal duniani walianza kuitumia kila nafasi wanayoipata kutoa maoni juu ya uhamisho huo, wengine walimtakia kheri, wengine walimkashifu na kumpa majina ya ajabu ajabu huku wengine wakijaribu hata kuchoma hata jezi zake. Kutokana na hilo nilijaribu kutoa nafasi kwa washabiki wa Arsenal ambao ni wadau wa mtandao huu kutoa maoni yao juu ya uhamisho wa Robin Van Persie. Na haya ni baadhi ya yale niliyot... more »

DEAL DONE!

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
Robin van Persie said: “It’s an honour to sign for Manchester United. I am looking forward to following in the footsteps of so many great strikers, bringing my experience and playing my part to help the team compete for the biggest trophies in the game. I can’t wait to get started.”

OFFICIAL: ROBIN VAN PERSIE ATAMBULISHWA RASMI MANCHESTER UNITED ASAINI MIAKA MINNE

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
*Robin van Persie akisaini mkataba wake wa miaka minne wa kujiunga na Manchester United mbele manager wa klabu hiyo Sir Alex Ferguson mchana huu makao makuu ya klabu hiyo jijini Manchester.*

DEBATE: KITENDO CHA ARSENAL KUMUUZA VAN PERSIE KWENDA MAN UTD,JE NDIO MWISHO WA UPINZANI NA UHASAMA BAINA YA HIVI VILABU VIWILI ?

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
ROBIN VAN PERSIE akiwasili kwenye hospitali ya bridgewater tayari kufanyiwa vipimo vya afya ili kumalizia taratibu za kujiunga na MAN UTD.

RAISI JAKAYA MRISHO MRISHO KIKWETE ASEMA AHADI YAKE YA KUILETA REAL MADRID IPO PALE PALE

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa bado ni dhamira ya Serikali yake kuileta moja ya timu za Ligi Kuu ya Soka ya Hispania (La Liga) kutembelea Tanzania na amemtaka Balozi mpya wa Hispania katika Tanzania kusaidia kufanikisha dhamira hiyo. Aidha, Rais Kikwete ameipongeza Hispania kwa kutetea ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Ulaya (Euro) 2012 katika mashindano yaliyomalizika mwezi uliopita nchini Poland na Ukraine. Akizungumza na Balozi mpya wa Hispania, Mheshimiwa Luis Manuel Cuesta Civis mara baada ya kupokea hati yake ya utambulis... more »

IKIWA UNAMTAKA CRISTIANO RONALDO ITAKUBIDI KULIPA €1 BILLION

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
Kila mchezaji anayo bei yake, ingawa vilabu vimekuwa vikijaribu kila njia kuweza kukaa na wachezaji wao muhimu, lakini siku zote inakuwa ngumu jambo lililopelekea kuwa zinawawekea vipengele vya beighali ikiwa kuna klabu itakuja kuwataka kuwanunua wakiwa bado kwenye mkataba husika. Kupitia utafiti mdogo uliofanyika tumeweza kugundua na kupata kujua ni wachezaji gani wanaongoza kwa kuwekewa vipengele vya kuuzwa fedha nyingi kuliko wenigne. *Cristiano Ronaldo* *€1bn* *Lionel Messi* *€250m* *Fernando Torres*

No comments:

Post a Comment