Friday, June 8, 2012

Miili ya watu 14 imepatikana Mexico

Miili ya watu 14 imepatikana Mexico

BBCSwahili.com | Mwanzo - 4 hours ago
Miili ya watu 14 ambayo imekatakatwa imepatikana ndani ya lori mjini Ciudad Mante, Kaskazini Mashariki mwa Mexico

Kamati ya katiba kuteuliwa Misri

BBCSwahili.com | Mwanzo - 4 hours ago
Ripoti zinasema kuwa mzozo uliokuwa umeibuka kuhusu jopo maalum la kuandika katiba mpya nchini Misri hatimaye imetatuliwa

Annan ataka dunia iungane dhidi ya Syria

BBCSwahili.com | Mwanzo - 5 hours ago
Ujumbe maalumu wa Koffi Annan kwa Baraza la Usalama la UN ulikuwa kwamba dunia liungane kushinikiza Serikali ya Syria.

KULWA NA DOTO MAMA YAO NI MMOJA!

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 12 hours ago
Kikubwa zaidi ninachojaribu kukiangalia ni jinsi ambavyo viongozi wa vilabu vya SIMBA na YANGA wasivyopenda kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa, mwenyekiti wa SIMBA ameongelea kwa jazba kubwa sakata la beki wa timu yake Kelvin Yondani kusajiliwa na Yanga, si ajabu kesho tu tukasikia viongozi wa YANGA nao wakilijibu hili kwa mbwembwe. Lakini mwisho wa siku ni lazima tukubali kuwa viongozi wote hawa wa simba na yanga wana mapungufu makubwa sana katika utendaji wao wa Kazi, na namna wanavyoendesha vilabu vyao na mpira wa Tanzania kwa ujumla. Viongozi hawa wa SIMBA na YANGA W... more »

Euro 2012: UBAO WA TAKWIMU ZA WACHEZAJI!

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 14 hours ago
[image: Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards] [image: Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards] [image: Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards] [image: Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards] [image: Euro 2012 Focus: Player Stats Leaderboards]

TETESI : JUMA NYOSO HUYOO YANGA

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 16 hours ago
TAARIFA NILIZOZIPATA HIVI PUNDE BEKI WA SIMBA JUMA NYOSSO MUDA WOWOTE KUANZIA HIVI SASA HUENDA NAYE AKASINI KWA AJILI YA KUJIUNGA NA YANGA. TAARIFA NILIZOZIPATA KUTOKA KWENYE CHANZO CHA KUAMINIKA KIKOSI KAZI CHA YANGA TAYARI KIPO KWENYE KAMBI YA TIMU YA TAIFA KWA AJILI YA KUMALIZANA NA BEKI HUYO .

IMF kurejesha ufadhili kwa Malawi

BBCSwahili.com | Mwanzo - 17 hours ago
Dola milioni 157 kama mkopo kwa Malawi ili kuuchepua uchumi wake ambao umedorora

Bia yaidhinishwa Brazil Kombe la Dunia

BBCSwahili.com | Mwanzo - 17 hours ago
Rais Dilma Rousseff wa Brazil amwaga wino kuidhinisha kuwa sheria bia kuuzwa wakati wa mechi za Kombe la Dunia mwaka 2014

Katika teknolojia wiki hii

BBCSwahili.com | Mwanzo - 17 hours ago
Teknolojia mpya ya Microsoft yazinduliwa

Nyota wa soka waafrika kwenye Euro 2012 kwa picha

BBCSwahili.com | Mwanzo - 18 hours ago
Kutana na wachezaji soka wenye mizizi yao barani Afrika ingawa wanachezea mataifa ya kigeni. Je watangara au?

Mamilioni kwa watakaowafichua al-shabaab

BBCSwahili.com | Mwanzo - 18 hours ago
Serikali ya Marekani imetenga dola milioni 33 kwa watakaotoa taarifa zitakazopelekea kukamatwa kwa viongozi saba wa kundi la al-shabab nchini Somalia. Marekani na wachambuzi wengine wa masuala ya usalama wamehusisha kundi hilo na lile la al Qaeda.

Mshirika wa Gbagbo akamatwa.

BBCSwahili.com | Mwanzo - 18 hours ago
Moise Lida Kouassi ni wa kwanza kati ya washirika wa Bwana Gbagbo kukamatwa baada ya uchaguzi wa mwaka 2010.

Ufaransa haitutishi!

BBCSwahili.com | Mwanzo - 18 hours ago
Timu ya England yajipiga moyo konde

EURO 2012: ITALIA NA SAFU YA USHAMBULIAJI YA WENDAWAZIMU CASSANO NA BALOTELLI.

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 20 hours ago
*Maneno ya Cesare Prandelli alipomrithi Marcello Lippi kama kocha wa timu ya taifa baada ya kombe la dunia mwaka 2010 ni kwamba ataifanya Azzuri ivutiwa kwa kucheza soka zuri la kushambulia. Kwa hakika amejitahidi sana huku akitambulisha utaratibu wa 'ethical code' (wachezaji wanaokuwa wamesimamishwa kwa makosa ya kinidhamu hawatoitwa timu ya taifa) na kusisitiza katika kuwapa nafasi zaidi viungo wenye ufundi zaidi katika timu yake. Wazo ni kuifanya Italia kucheza kwa staili yake ya mfumo wa tiki-taka, staili inayopendelewa zaidi na Wahispania. Akiuacha mfumo wa siku nyingi wa kuj... more »

Chris Hughton meneja mpya Norwich City

BBCSwahili.com | Mwanzo - 20 hours ago
Achukua nafasi iliyoachwa wazi na Paul Lambert

Treetops

BBCSwahili.com | Mwanzo - 22 hours ago
Hoteli alimokuwa Malkia Elizabeth alipofahamishwa kifo cha babake 1952

COPA COCA-COLA TAIFA KUANZA KUTIMUA VUMBI JUNI 24

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 22 hours ago
Michuano ya Copa Coca-Cola ngazi ya Taifa inaanza kutimua vumbi Juni 24 mwaka huu kwenye mikoa ya Dar es Salaam na Pwani huku pambano la ufunguzi likiwa kati ya Kigoma na Lindi litakalofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar es Salaam. Upangaji ratiba (draw) umefanyika leo (Juni 7 mwaka huu) kwenye ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kushuhudiwa na waandishi wa habari, makocha wa timu za mikoa za Copa Coca-Cola na wadhamini kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola. Makocha 35 wa timu za Copa Coca-Cola kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwa... more »

SAKATA HILI LA YONDANI KWA UPANDE MWINGINE LIMECHANGIWA NA SERA MBOVU YA USAJILI YA SIMBA!

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 22 hours ago
Sakata la usajili wa Kelvin Yondani limetokea kuteka hisia za wengi katika kipindi cha masaa 48. Taarifa ambazo zimetapakaa kwenye vyombo ya habari zinasema kuwa Dar es salaam Young Africans imekamilisha usajili wa Yondani huku nakala ya mkataba wake alioingia na klabu hiyo ukionyesha kuwa amesaini kuichezea Yanga kwa miaka miwili huku akitia kibindoni kiasi cha Milioni 30 huku mshahara wake ukiwa laki nane kwa mwezi. Upande wa pili wa sinema hii ambao ni klabu anayodaiwa kutoka Yondani ya Simba Sports unadai kuwa Yondani aliongeza mkataba wake wa awali na klabu hiyo kabla hata y... more »

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
SIMBA SPORTS CLUB P.O.BOX 15318 | TEL+255 222183330 |FAX +255 222183330 |MSIMBAZI/MCHIKICHI STREET | DAR ES SALAAM | TANZANIA | EMAIL simbasportsclub@yahoo.com|WEBSITE www.simba.co.tz| AFFILIATED TO TFF, DRFA and IDFA Simba Sports club imesikitishwa na kitendo cha Young Africans kuvunja taratibu za usajili kwa kumrubuni mchezaji wake Kelvin Patrick Yondani kwa kuzungumza naye na baadae kwa ushahidi wa picha kuonekana wakimuandikisha makaratasi ambayo baadae imeripotiwa na vyombo vya Habari kwamba alikuwa akisaini mkataba wa kui... more »

No comments:

Post a Comment