Wednesday, February 20, 2013

Ndoto ya Afrika yatua Kenya

Katika makala ya ndoto ya Afrika, tumemtembelea kituo cha matibabu ya macho kuwapa watu uwezo wa kuona tena nchini Kenya

LIVE MATCH CENTRE: AZAM 3 - 0 JKT RUVU - SIMBA 1 - 0 PRISONS

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 hour ago
Kutoka Mbeya - Sokoine - Kipindi kinaanza na Simba wanaendelea kuongoza 1 - 0 Dk 67 Azam inafanya mabadiliko, ametoka Kipre Tchetche ameingia Seif Abdallah. JKT 0-3 AZAM. Dk 60 JKT inafanya mabadiliko, wametoka Kisimba Luambano na Mussa Mgosi, wameingia Hussein Dumba na William Sylevester. Dk 54 Kipa wa JKT, Shaaban Dihile anaumia baada ya kuokoa mpira wa shuti kali lililopigwa na Mcha. Mpira unasimama kwa muda ili Dihile atibiwe. Dk 51 JKT wanacharuka na kupanga mashambulizi lakini safu ya ulinzi ya Azam inaonekana kuwa makini na kuokoa hatari zote. Kutoka Mbeya Soine Stadiu... more »

Mauaji ya Padri Zanzibar

Rais Jakaya Kikwete ameomba watu kuwa watulivu mpaka pale matokeo ya uchunguzi yatakapotangazwa.

Chai ilivyotelekezwa Sudan Kusini

Je nini kilitokea wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe na kusababisha mashamba ya chai yatelekezwe?

Jaji mkuu Kenya adai kutishwa kisiasa

BBCSwahili.com | Habari - 3 hours ago
Ameelezea kutishwa na kundi haramu la Mungiki kuhusu uamuzi wa mahakama ikiwa Uhuru Kenyatta ataweza kugombea urais au la

Laurent Gbagbo afikishwa mahakamani ICC

BBCSwahili.com | Habari - 3 hours ago
Mahakama hiyo inatarajiwa kuamua ikiwa ushahidi uliotolewa katika kesi yake ya uhalifu dhidi ya binadamu unatosha kumfungulia kesi.

YANGA YAENDELEA KUIANDALIA MAUAJI AZAM FC HUKO MBEGANI BAGAMOYO

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 4 hours ago
Wachezaji wa Young Africans wakiwa mazoezini (picha na maktaba) Kikosi cha Young Africans leo asubuhi kimeendelea na mazoezi katika uwanja wa Mbegani nje kidogo ya mji wa Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wake dhidi ya timu ya Azam Fc siku ya jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Young Africans ambayo imeweka kambi katika hoteli ya Kiromo - Bagamoyo tangu jana mchana kujiandaa na mchezo huo, leo asubuhi imefanya mazoezi chini ya kocha mkuu Brandts, kocha msaidizi Fred Felix 'Minziro' na kocha wa makipa Razaki Siwa huku wachezaji wot... more »

Kibarua cha mawakili kupata dhamana kwa Pistorius

BBCSwahili.com | Habari - 5 hours ago
Shahidi katika kesi ya dhamana ya Pistorius ameelezea kusikia mayowe kabla ya mauaji ya mchimba wake

Kanisa lateketezwa Zanzibar

BBCSwahili.com | Habari - 6 hours ago
Washabuliaji waliiharibu kanisa hilo mwaka jana katika kile wengi walitaja kama mgogoro wa umiliki wa ardhi ambako kanisa hilo lilikuwa limejengwa

Waziri mkuu wa Tunisia ajiuzulu

BBCSwahili.com | Habari - 7 hours ago
Waziri mkuu wa Tunisia Hamadi Jebali, amejiuzulu baada ya kukosa kuafikia makubaliano kuhusu serikali mpya.

LIBOLO YATUMIA ZAIDI YA TSH. MILIONI 180 KUIFUNGA SIMBA KWENYE MCHEZO MMOJA TU.

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 20 hours ago
KLABU ya soka ya CRD Libolo ya Angola imetumia zaidi ya Sh. 180 milioni katika maandalizi yake ya mechi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi Simba na kuweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0. Katika kiasi hicho cha fedha za maandalizi, Libolo ikiwa chini ya afisa mipango wake, Edson Naval iliweza kujilipia yenyewe kila kitu ilipokuwa nchini. Mtandao wa *shaffihdauda.com* ulizungumza na Kasim Malinda aliyekuwa sambamba na maafisa wa Libolo waliotangulia nchini mwezi mmoja kabla ya kuivaa Simba, ambaye anasema timu hiyo ilikuwa imejiandaa ipasavyo kuhakikisha inashinda. Katika mche... more »

Watalii 7 wametekwa nyara Cameroon

BBCSwahili.com | Habari - 22 hours ago
Rais wa Ufaransa Francois Hollande anasema kuwa ni watu wa familia moja na walitekwa na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Nigeria.

Afrika kwa picha

BBCSwahili.com | Habari - 22 hours ago
Kampeini dhidi ya dulma za jinsia Congo na mavuno tele Zambia

SIMBA KUVUNJA UTEJA KWA PRISONS KESHO SOKOINE?

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
BAADA ya sare mbili mfululizo, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), Simba kesho (Februari 20 mwaka huu) wanashuka Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya wakiwa wageni wa Tanzania Prisons. Katika mechi zake mbili zilizopita, Simba iliondoka pointi mbili tu kati ya sita ilizokuwa ikizipigania. Ilitoka sare na timu za JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na baadaye sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Oljoro JKT. Hiyo itakuwa mechi ya nne kwa Mfaransa Patrick Liewig tangu aanze kuinoa Simba huku akifanikiwa kuondoka na ushindi katika mechi moja dhidi ya Afric... more »

OFFICIAL: FIFA YAUSIMAMISHA UCHAGUZI MKUU WA TFF

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
** SHIRIKISHO la Kimaifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeahirisha uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutokana na mkanganyiko uliojitokeza katika mchakato wa uchaguzi huo. Akizungumza na Waandishi wa Habari katika ofisi za TFF jijini Dar es Salaam leo mchana (Februari 19 mwaka huu), Rais wa TFF, Leodegar Tenga amesema FIFA imetuma barua ikiagiza mchakato wa uchaguzi usimame baada ya kupata malalamiko. Amesema kutokana na mkanganyiko huo, FIFA katika barua yake ya leo (Februari 19 mwaka huu- *imeambatanishwa*) imeagiza mkutano wa uchaguzi wa TFF ambao awali ul... more »

KWANINI NIZAR KHALFANI ANAIPENDA JEZI NAMBA 16? - SIRI YAFICHUKA

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
NIZAR Khalfan amekataa kufichua siri ya kuvaa jezi yenye namba 16 mgongoni tangu akiwa na timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro 2005, lakini rafiki yake wa karibu amefichua siri hiyo. Kiungo huyo wa Yanga alisema jijini Dar es Salaam ametokea kupenda kuvaa jezi yenye namba 16 mgongoni na hakuna lolote ambalo limejificha dhidi ya namba hiyo. "Nafikiri nimetokea tu kuipenda. Hakuna siri yoyote ambayo imejificha juu ya namba 16 kwenye maisha yangu binafsi." Lakini utafiti uliofanywa umebaini kuwa nyota huyo amekuwa akipendelea kuvalia namba hiyo akiwa anamaanisha idadi ya mabao aliyoif... more »

EXCLUSIVE: SIMBA YAPEWA SIKU SABA KUMLIPA MILOVAN LA SIVYO.......

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
ALIYEKUWA kocha wa Simba, Milovan Cirkovic ameupa siku saba uongozi wa timu hiyo kumlipa fedha zake Sh39mil, vinginevyo atapeleka malalamiko yake Shirikisho la soka la Kimataifa (Fifa). Mserbia huyo ambaye yupo jijini Dar es Salaam, tangu Jumatano iliyopita amesema; "Simba ni timu ambayo nimefanya nayo kazi kwa muda mrefu na pasipo matatizo yoyote. Lakini kwa hali ambayo nimekumbana nayo kwa siku hizi mbili (Jumamosi na Jumapili), nafikiri imenikatisha tamaa kabisa." Kocha huyo aliyeipa Simba ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita alisema amekuwa akiwapiga simu ya kiganjani vi... more »

DIRA YA HAMASA YA KANDANDA NCHINI

Shadaka at Shaffih Dauda in Sports. - 1 day ago
*Na Gwandumi Gwappo Atufwene Mwakatobe* *(Mratibu wa Kujitolea wa Kuibua na Kufufua Vipaji – Mwakaleli, Busokelo)* *Februari 2013* *1. **Utangulizi* Tukiwa katika mchakato wa kupata viongozi wapya wa Shirikisho la Kandanda Tanzania (TFF) ambao awali ulipangwa kuhitimishwa Februari 24, 2013, nimeona nichukue fursa hii kuainisha nini kifanyike na kubainisha masuala ya msingi ya kuleta hamasa mpya ya kandanda nchini. Aidha, rais anayemaliza mihula miwili ya jumla ya miaka nane Leodgar C. Tenga alisema tunaorodhesha matatizo bila kuyapatia ufumbuzi na akasema ameacha utawal... more »

Pistorius alimuua mpenzi wake kimakosa

Ameambia mahakama mjini Pretoria kuwa alimpiga risasi 3 mpenzi wake bafuni akidhani alikuwa mwizi aliyekuwa amevamia nyumba yake